Shukrani;
Wednesday, 22 October 2014
Saturday, 27 September 2014
Watoto Wetu Leo;African storytelling na ZinseAgginie,Burudani-HukweZawose!!!!!!!
Wazazi/Walezi na Watoto wangu Wapendwa,Nimatumaini yangu wote hamjambo na mnaendelea vyema..kwa wale wagonjwa,wenye matatizo yoyote..tuwaombea mpate kupona na kupata utatuzi wa mapito yote,Mungu yu pamoja nanyi.....
Hapa tulipo hali ya hewa imebadirika kwa sasa,(Autumn)...Watoto wa huku watakosa kucheza nje.
Vipi hapo ulipo wewe?
Basi nisiwachoshe Leo tuungane na Zinse kwa Hadith nzuri .......
Nawatakia weekend njema,yenye Upendo,Umoja na Afya njema....
Hapa tulipo hali ya hewa imebadirika kwa sasa,(Autumn)...Watoto wa huku watakosa kucheza nje.
Vipi hapo ulipo wewe?
Basi nisiwachoshe Leo tuungane na Zinse kwa Hadith nzuri .......
Nawatakia weekend njema,yenye Upendo,Umoja na Afya njema....
![]() |
| Ni Mimi Shangazi/Mama yenu Rachel siwa[Kachiki] Tukutane pale kwa Mwalimu,Baba,Babu,Mtumishi - Mwakasege Yupo Hapa Coventry,UK |
Saturday, 13 September 2014
Watoto wetu Leo tujifunze kuhusu Mwalimu Julius Nyerere[Baba wa TaifaLa Tanzania]
Nimatumaini yangu Wazazi/Walezi na Watoto wangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea vyema.
Watoto leo tujifunze kuhusu Baba wa Taifa la Tanzania..Mwalimu Julius Nyerere....
Natumaini mtajifunza mengi kuhusu Baba wa Taifa..
Twende pamoja......
Watoto leo tujifunze kuhusu Baba wa Taifa la Tanzania..Mwalimu Julius Nyerere....
Natumaini mtajifunza mengi kuhusu Baba wa Taifa..
Twende pamoja......
Shukrani/Thanks;CCTV Africa
Nawatakia mapumziko mema ya mwishoni mwa wiki...
Ni mimi Mama/Shangazi yenu Rachel siwa[Kachiki]
Nawatakia mapumziko mema ya mwishoni mwa wiki...
Ni mimi Mama/Shangazi yenu Rachel siwa[Kachiki]
Wednesday, 10 September 2014
Watoto na Kujifunza Mapishi;How to make sadza by African Pot Nutrition Chipo
Watoto mnapenda kupika? Wazazi/Walezi mnawashikirikisha watoto jikoni?
Saturday, 30 August 2014
Watoto WetuMovie ya Leo;Frozen,Burudani-Kidz Bop Kids-The Edge Of Glory..!!!!!!
Burudani....
Nawatakia kila lililojema na Baraka..
Ni mimi Shangazi/Mama Yenu Rachel siwa[Kachiki]
Saturday, 9 August 2014
Watoto Wetu;Movie Ya Leo;Little Girl Lost (Full Movie)
Nimatumaini yangu Wazazi/Walezi na Watoto wangu wapendwa hamjambo na mnaendelea vyema.
Leo tuangalie;Little Girl Lost.....
Leo tuangalie;Little Girl Lost.....
Thanks;
MoviesAndDocumentaries
Nawatakia Kheri na Baraka Wazazi/Walezi na Watoto wooooote waliozaliwa mwezi huu wa 08.[August]
Nami ni mmoja wao nilisheherekea yangu tarehe 01.08.
Nawatakia Likizo njema kwa walio Likizo[Holiday]
Nawatakia mapumziko mema ya mwisho wa wiki.
Ni mimi Mama/Shangazi yenu Rachel siwa [Kachiki]
Friday, 8 August 2014
Watoto Na Kujifunza; Wakati wa Likizo [Summer Holiday] Na Watoto Wetu!!!!!!
Wapendwa;Wazazi/Walezi na Watoto wangu wote,Natumai mnaendelea nyema.
Watoto wa Ng'ambo mnaendeleaje na Likizo?Nini mnafanya/mmefanya?
Likizo ya mwaka jana;Tulianza kukutana na watoto na kujifunza kushona Watoto wa Bandia[Mwana Sesere.]
Watoto wa Bandia au [Wana Sesere] ndilo jina ninalojua/nilikuwa natumia enzi zangu..
Tena tulikuwa tunashona wenyewe..kwa msaada wa wakubwa,kama-Dada,Mama wadogo,Shangazi wadogo,Marafiki na....
Pia Tuliweza kutengeneza watoto[Wana Sesere] kwa kutumia udongo.
Kwakutumia Udongo ,Tulitengeneza Mgari,Vyungu na vitu vingi..
Hasa watoto wengi tulio zaliwa/kukulia Afrika tunajua hii..sina hakika na jina kama wote walikuwa wanaita hivyo..
Basi nami nikaona vyema niwafundishe na watoto wa ki-Afrika/Waswahili waishio Ng'ambo Kutengeneza/Kushona.
Hii ilikuwa Likizo ya Mwaka Jana.
Mwaka huu nitawaletea picha kidogo za "Family Fun Day"Tulikuwa na wakati mzuri sana, Tulikutana na kucheza pamoja kwenye park.
Je watoto wa leo/sasa Afrika bado mnashona/tengeneza mwanasesere?
Je watoto mnapenda michezo gani wakati huu wa Kiangazi/Jua[Summer]..?
Je Watoto wa Ng'ambo mnapenda kujifunza/kujua michezo ya zamani au ya watoto wa Afrika?
Basi nisiwachoshe,Tupatapo muda na tukutane pamoja kwa kucheza na kufurahi pamoja.
Nawatakia Likizo njema kwa wote mnaondelea na Likizo.Pia masomo mema kwa wote mnaondelea na masomo.
Ni mimi Mama/Shangazi yenu;Rachel siwa[kachiki].
Watoto wa Ng'ambo mnaendeleaje na Likizo?Nini mnafanya/mmefanya?
Likizo ya mwaka jana;Tulianza kukutana na watoto na kujifunza kushona Watoto wa Bandia[Mwana Sesere.]
Watoto wa Bandia au [Wana Sesere] ndilo jina ninalojua/nilikuwa natumia enzi zangu..
Tena tulikuwa tunashona wenyewe..kwa msaada wa wakubwa,kama-Dada,Mama wadogo,Shangazi wadogo,Marafiki na....
Pia Tuliweza kutengeneza watoto[Wana Sesere] kwa kutumia udongo.
Kwakutumia Udongo ,Tulitengeneza Mgari,Vyungu na vitu vingi..
Hasa watoto wengi tulio zaliwa/kukulia Afrika tunajua hii..sina hakika na jina kama wote walikuwa wanaita hivyo..
Basi nami nikaona vyema niwafundishe na watoto wa ki-Afrika/Waswahili waishio Ng'ambo Kutengeneza/Kushona.
Hii ilikuwa Likizo ya Mwaka Jana.
Mwaka huu nitawaletea picha kidogo za "Family Fun Day"Tulikuwa na wakati mzuri sana, Tulikutana na kucheza pamoja kwenye park.
Je watoto wa leo/sasa Afrika bado mnashona/tengeneza mwanasesere?
Je watoto mnapenda michezo gani wakati huu wa Kiangazi/Jua[Summer]..?
Je Watoto wa Ng'ambo mnapenda kujifunza/kujua michezo ya zamani au ya watoto wa Afrika?
Basi nisiwachoshe,Tupatapo muda na tukutane pamoja kwa kucheza na kufurahi pamoja.
Nawatakia Likizo njema kwa wote mnaondelea na Likizo.Pia masomo mema kwa wote mnaondelea na masomo.
Ni mimi Mama/Shangazi yenu;Rachel siwa[kachiki].
Subscribe to:
Posts (Atom)
