Thursday 28 March 2013

Ukatili/Unyanyasaji kwa watoto wetu!!




Hivi ndivyo  alivyochomwa  chomwa  mwilini na kitu chenye ncha kali
 Na Raymond  Francis, Iringa  
Vituko mjini Iringa haviwezi kuisha kama jamii haitakubali kwa moyo mmoja kupambana na ukatili wa kijinsia.
Huyu ni Binti ZAWAD KARIM  miaka 16 mkazi wa mshindo nyuma ya banki ya NBC manispaa ya Iringa amepigwa na hatimaye kunyweshwa mkojo na mama yake mdogo aitwaye Ever ubamba.

Tukio lilikuwa hivi:

Zawadi ambaye kimsingi anaishi na mama yake mzazi ambaye kwa kipindi hicho dada mtu huyo alikuwa anaumwa. Ever alikuwa nje na marafiki zake ndipo mama yake mdogo huyo akamwiita ndani ya nyumba yao hiyo wanayoishi mtaa wa mshindo
                      

Baada ya kumwita na kisha mtoto huyo kushindwa kusikia baadaye aliitika na kuingia ndani ndipo alipo ambiwa avue nguo zote amri iliyotolewa na mama yake huyo mdodo Ever baada ya muda mfupi Zawadi alianza kupokea kipigo kikali kutoka kwa mama yake huyo mdogo.

Katika kipigo hicho Zawadi inadaiwa kwamba alipigwa pamoja na kunyweshwa mkojo kutoka kwa mama yake mdogo huyo.

Zawadi ambaye ni mtoto wa kuzaliwa na Dada yake Ever inadaiwa kipigo hicho kimesababishwa na tuhuma kwamba eti familia hiyo haina mtoto kama yeye zawadi.

Zawadi inadaiwa aliwahi kwenda zanzibar kwa nia ya kufanya kazi na baada ya muda mama yake mzazi ambaye jina lake bado halijafahamika alimpigia simu arudi nyumbani na mara baada ya kurudi ndipo kutokuelewana huko kukajitokeza.

Aidha taarifa za ndani kuhusu tukio hilo zinasema kuwa Mmama yake Msichana Zawadi alitupwa akiwa mchanga na kuokotwa na wasamalia wema na hatimaye kulelewa na Bibi yake ambaye hata hivyo amefariki duni.
Kisa cha yote hayo ni madai ya mtoto zawadi kuomba aneshwe Baba yake mzazi ili walau aweze kupata pumziko la adha anazo zipata kutoka kwa ushirika wa ndugu zake hao.

Zawadi pamoja na majirani wameuambia mtandao huu kuwa vitu vilivyo tumika kumwadhibu vilikuwa ni pamoja na nyaya za simu,mkandaa,na vipande vya chupa katika kumchoma navyo.

Hata hivyo hadi mtandao huu unachapisha taarifa hii watuhumiwa wa tukio hili yaani Mama mzazi pamoja na Mama mdogo wa Zawadi wanashikiliwa na jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia kwa mahojiano zaidi.


shukrani;http://francisgodwin.blogspot.co.uk/

Saturday 16 March 2013

Watoto na Shengs &Kiswahili!!!!!

Wazazi/Walezi mnasemaje kuhusu hili?

maeneo yasio na tamaduni ya kuLugha ya Kiswahili ni mojawapo ya lugha iliyosifika katika afrika mashariki,lakini sasa imo hatarini kwa mwenendo wa sheng na engsh kuchipuza na kuathiri ndimi za vijana mitaani. Aidha wengi wao hubakia kufahamu Kiswahili katika ngazi ya kukiandika pekee kutokana na shinikizo darasani lakini ifikapo wakati wa mawasiliano mambo hua tofauti. Mwana habari wetu Saida Swaleh alichana mbuga na kuzungumza na vijana wanaoenzi seheng pamoja na waalimu wanaoona lugha hiyo kama changa moto katika kufunza kiswahili hasaa katika zungumza Kiswahili.



Shukrani;standardgroupkenya

Vituko vya Wazazi!!!!

Unalo la kuongezea? Karibu Saaana..

Wednesday 13 March 2013

Watoto Na Vipaji;Leo Tunaye da'Miriam Chirwa!!!!!

'A Wonder kid: disabled yet a sensational singer'

She live at Makongo Juu area, Kinondoni, Dar es salaam.She was born on 15th Sept 1998. She has an exciting testimony of her life as she was born very tiny with eye disability. However, despite of all these, she is very talented, brave and intelligent. She also does well in school. Her name is Miriam Thomas Chirwa, popularly known as "Evangelist Miriam" an upcoming Gospel Music Singer. Her mother Hilda went through hardships during her pregnancy and this contributed to her getting birth to an impaired child. Besides this situation of hers, her parents didn't lose hope on her rather they kept her in spite of the community despising her.
EDUCATION
Due to her visual impairment, she was delayed to start school because of the doctors recommendations. Her extraordinarily small body also exaggerated her age. However, she later joined Uhuru Inclusive Primary School (Uhuru Mchanganyiko) a 'special' school located along Uhuru Road near Benjamin Mkapa Secondary School. She is currently in class v.
MUSIC BACKGROUND
Miriam was discovered talented even before she hit 2 years. She used to sing hymn songs with a unique voice. When she was 3 years her mother Hilda started composing and teaching her simple songs. At the age six, her father got confidence in her and started making tracks and later got her a chance of recording 5 songs. At the age of seven, she did another recording of 10 tracks. This album was entitled "Mseme Yesu Watu Wapone"
HER MUSIC GOSPEL AND THE COMMUNITY
She sings Gospel Music, she loves God. She also has other related educative songs like a song called 'RUSHWA'(corruption) which has played a great role in corruption awareness campaign others are Elimu ni mwanga (Education is the light) Nawasihi Wazazi (I beseech the parents) and Imarisha Familia (Strengthen the Family). As a Tanzanian, she has participated in different awareness and government occasions.
• On 15th -- 16th June, 2006 she took part in singing at the Africans Child Day held in Dar es salaam at Mnazi Mmoja.
• In June 15th 2007, Miriam performed at St Gaspars Hall in Dodoma where The First Lady mama Salma Kikwete was the Guest of Honor launching the World's Education Report.
• On 16th June, 2007, she performed at Jamuhuri Stadium in Dodoma. His Excellency President Jakaya Mrisho Kikwate was the Guest of Honor.
• Because of her touching and educating songs like ' Nawasihi Wazazi' and 'Elimu ni Mwanga' , Miriam also got involved in disability awareness campaigns.
It is of no doubt that due to her participation in the community based campaigns, she was awarded 'BEST AMBASSADOR' to the community for the year 2011- 2012 by the Tanzanian Gospel Music Awards.
Currently Miriam is planning to reach Malawi, Zambia and Zimbabwe and somehow South Africa through the new songs she has recorded in Chewa language.
CHALLENGES
• Lack of breil typing machine which she has to use in school for writing.
• Lack of financial support for both school materials and her talent. Am sorry to say that her first album has not benefited her much due to Pilate and carelessness of the distributor.
• Luck of music instruments has delayed a lot of things to boost her talent.
We parents of Miriam we believe that disability is not inability. That's why we have done our best to do what we can to make Miriam reach where she is now. We still have a long way to go since Miriam has a dream of becoming an Advocate to defend the rights of the disabled children. If you are touched please we ask for your support in either material all financially.
Miriam has a brother who was born with cerebral pulse problem and caused him being disabled. Besides this he is seen to have a talent in playing music instruments. He has delayed to go to school due to his situation. We are taking him for Physiotherapy services. We have already started seeing changes. Handling this requires a good financial status. The situation sometimes gives us tough time in being faithful to our employers. We would like to be self employed since we have skills like Audio &Video Production and marketing.
It has been prepared by the biological parents of Miriam and her brother Obadiah. We don't want the children to look hopeless while we are strong enough to work and support 

them. So we ask for your support.




Zaidi anapatikana hapa;Miriam Thomas Chirwa

      
watoto wetu na Jukumu Letu........
Unamaoni/Ushauri? Karibuni Wote!!!

Sunday 10 March 2013

Monday 4 March 2013

Watoto wetu na Mavazi Yetu;How to wear a Kanga (sarong) African wrap!!!!!!!!!




Wazazi/Walezi  ni vyema watoto wakajua/kuwafunza Tamaduni zetu na mambo mengi ya kwetu.
Hasa kwa wale wanaoishi Nje ya Tanzania/Afrika.Ili wasiwe wageni sana na mambo ya Nyumbani.

Wewe Unaushauri /Maoni Gani?