Monday 22 July 2013

Watoto na Sherehe;Miaka 15 ya Da'Sandra-Neema!!!!






Natumai wote wazima wa Afya.. Watoto  Wa Nga'mbo mnaendelea vyema na Likizo. mlio Afrika  mnaendelea vyema na masomo.

Leo tuangalie  sherehe ndogo ya Da'Sandra-Neema ametimiza miaka 15.Ilikuwa sherehe ndogo ya kifamilia.



Sherehe hii ndogo iliandaliwa/simamiwa na da'Tracey-Sarah..kuanzia mapambo na vitu vyote.

Familia ya Isaac inawatakia Watoto wote waliozaliwa Mwezi huu na wengine wote Maisha mema yenye Amani,Upendo,Baraka na Furaha.
  
 Kama unapicha/Matukio na mengineyo,usisite kutumia kupia Email;rasca@hotmail.co.uk.

Wote Mnakaribishwa.


No comments: