Monday 1 July 2013

Wanafunzi Watatu Wabakwa Na 'Mwalimu Bandia' Kiambu!!!!



Polisi katika eneo la Tigoni wanafanya uchunguzi kuhusiana na kisa ambapo wasichana watatu wa shule ya upili walibakwa. Ni kisa ambacho kimewaacha wengi midomo wazi kwa kuwa mshukiwa huyo alikuwa amepewa kandarasi ya kuwapa mafunzo ya nyimbo za kitamaduni wanafunzi hao miongoni mwa wengine kwa maandalizi ya mashindano ya 
kitaifa.

Habari kutoka;kenyacitizentv

No comments: