Saturday 28 September 2013

Watoto Wetu Hadithi Ya Leo;Mbalamwezi Nyota Begani-Sehemu Ya 1-2.!!!!!!

Nimatumaini Yangu Watoto Wangu Wazuri Hamjambo na mnaendelea Vyema na Masomo pamoja na Maisha....
Wazazi/Walezi wenzangu pia natumani mko salama na mnaendelea na Utaufutaji wa mkate kwa watoto.


Mimi Mzima kabisa pamoja na Familia Yangu...Poleni sana nilipotea kidogo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu..Nimepata email, sms/ ujumbe mbalimbali kutoka kwa baadhi ya wazazi/walezi na Watoto, Kujua mbona kimya? Asanteni Sana kwa kuwa nami na MUNGU azidi kuwa Nasi.

Watoto,Wazazi/Walezi wa "KENYA" Poleni Sana na yaliyotekea na MUNGU aendelee kuwapa Nguvu kwa Wakati huu Mgumu Kwenu.

Basi Nisiwachoshe;Leo nimewaletea Hadithi Ya Mbalamwezi Nyota Begani.Kutoka;
http://hadithihadithi.podomatic.com/[MAMA na MWANA]

Endelea kupata Raha.......




Hadithi ya Mbalamwezi Nyota Begani ni mojawapo ya Hadithi za Mama na Mwana toka Radio Tanzania. Kwa nakala ya hadithi hii na nyinginezo wasiliana na Radio Tanzania Dar es Salaam
Haya Watoto Nini Mmejifunza kupitia Hadithi Hii?
Wale Watoto ambao kiswahili kina wapa shida kidogo,Natumaini Wazazi/Walezi watawasaidia.
Niwatakie Mapumziko mema ya Mwisho wa wiki,Muwe watoto Wasikivu na Mzingatie Masomo.

Ni mimi Mama/Shangazi Yenu;Rachel siwa Isaac.
  Nawapenda Wote
.