Saturday 7 December 2013

Watoto wetu;Movie ya Leo-To Grandmother's House We Go,Burudani-Joe Mafela - Shebeleza

Pumzika kwa Amani Babu/Mzee MADIBA
Watoto wangu wapendwa natumaini hamjambo..Wazazi/Walezi Pia..
Natumaini wote tupo pamoja kwa Kuomboleza Kifo Cha Mpendwa wetu TATA MADIBA.

Niwakati mzuri sana kumuenzi kwa yote mema aliyotuachia.Amefanya mengi mengi sana..
Daima tutamkumbuka Mzee wetu MADIBA.

Leo tuangalie Movie hii,Twende sote sasa.......


Joe Mafela na Shebeleza....


Nawatakia kila lililojema,Baraka,Amani,Upendo,Umoja na Maandalizi mema ya Christmas.



Ni Mimi Mama/Shangazi yenu Rachel [Kachiki]
Nawapenda Wote.

Tuesday 3 December 2013

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...Majukumu ya Baba katika Familia


Karibu katika kipindi hiki cha FAMILIA kutoka Jamii Production.

Katika kipindi cha wiki hii, mjadala wa WAJIBU WA BABA KATIKA FAMILIA umefungua mfululizo wetu wa mijadala kuhusu wajibu wa mzazi kwa familia yake

Mbali na washiriki waliokuwemo studio, pia tumeshirikisha maoni toka kwa wasikilizaji wetu wapendwa waliyotoa kwenye ukurasa wa Facebook
Msimamizi wa kipindi Abou Shatry akifuatilia mjadala

Karibu uungane nasi



Mjadala ukiendelea
Mgeni wetu katika mjadala huu Isidory Lyamuya


--
*JAMII PRODUCTION*
"Usahihi wa fikra ndio fikra sahihi