Friday 9 August 2013

Watoto Wetu Leo;Niwakumbushe Kipindi Cha MAMA na Mwana; Hadithi-siri ya Binti Mfalme;Sehemu ya 1-2.!!!!!!







Wapendwa watoto leo nawaletea Kipindi cha MAMA na Mwana. Wazazi/Walezi Leo nimewarudisha Nyuma/Zamani kidogo..Kuhusu MAMA na MWANA...Wengi wenu Mlikuwa/Tulikuwa wafuatiliaji wazuri sana..Enzi zetu na watangazaji wa RTD.Ninao wakumbuka..Shangzi/Mama;Sango Kipozi,Sarah Dumba,Debora Mwenda,Eda Sanga......Duhhh samahani kama nimekosea majina.
kulikuwa na Hadithi,Nyimbo,Vitendawili,Nyimbo,Kutembelea Mashuleni na Mambo Mengi..
Mhhhh  Unakumbuka Hii...Chei chei Shangazix2 Shangaziii shangazii...Uje Tena Shangazi x2 Tufurahi Shangazi Shangazii...

Jee wewe unamkumbuka nani na jee wewe ulikuwa Mpenzi wa kipindi Cha Watoto/Watoto Wetu/Chei Chei/MAMA NA MWANA?
Nini kingine ulichokuwa unakipenda kwenye kipi cha MAMA NA MWANA?
Hahahaha Tuma Salamu............

Nimatumaini Yangu Leo Mmefurahi sana.
Niwatakie JumaMosi Njema na Maendeleo mema ya EID.

Shukrani;http://hadithihadithi.podomatic.com/

Ni mimi Shangazi/Mama Yenu;Rachel [kachiki]

No comments: