Saturday 30 August 2014

Watoto WetuMovie ya Leo;Frozen,Burudani-Kidz Bop Kids-The Edge Of Glory..!!!!!!

Watoto na Michezo,Raha Siku Ya "Family Fun Day"
Watoto wangu wapendwa,Wazazi/Walezi..Natumaini wote hamjambo..Poleni na Samahani kwa kupotea  kwangu..sikuwa na tatizo ni  mambo kidogo tuu yaliingiliana.
Tupo tena pamoja!!
Haya watoto wa Ng'ambo maandalizi ya kurudi masomoni yameanza.Tunawatakia maandalizi mema na mkafanye vyema.


Watoto wangu wa Afrika/Nyumbani natumaini mnaendelea vyema.
Wazazi/Walezi poleni na majukumu,Lakini yasiwe kikwazo cha kukosa muda wa kukaa,kucheza,kuongea,kufurahi,kufundisha,Kuelimisha na kusikiliza watoto wanapenda nini na kwa nini na hapendi nini na kwanini
?


Basi nisiwachoshe tuangalie Movie ya Leo....

Burudani....


Nawatakia kila lililojema na Baraka..
Ni mimi Shangazi/Mama Yenu Rachel siwa[Kachiki]

No comments: