Saturday 13 September 2014

Watoto wetu Leo tujifunze kuhusu Mwalimu Julius Nyerere[Baba wa TaifaLa Tanzania]

Nimatumaini yangu Wazazi/Walezi na Watoto wangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea vyema.
Watoto leo tujifunze kuhusu Baba wa Taifa la Tanzania..Mwalimu Julius Nyerere....

Natumaini mtajifunza mengi kuhusu Baba wa Taifa..
Twende pamoja......


Shukrani/Thanks;CCTV Africa

Nawatakia mapumziko mema ya mwishoni mwa wiki...
Ni mimi Mama/Shangazi yenu Rachel siwa[Kachiki]
 

No comments: