Friday 16 June 2017

Leo ni Siku ya Mtoto Wa Afrika;Mtoto UmlevyoNdivyo akuavyo..!




Shukrani;Tanzania Sci

Habari za siku nyingi watoto wangu wapendwa..
Natumaini wote mnaendelea vyema..
Mnisamehe kwa kuadimika huku ni majukumu yameingiliana..

Leo nimewakumbuka sana...
Nawatakia Siku hii njema ya Mtoto wa Afrika na mkawe watoto wema na mjivunie kuwa kati ya watoto wa Afrika popote ulipo..
Mimi mwenyewe najivunia mno kuwa mtoto wa Afrika hata kama kwa sasa siishi huko..
Kuna mambo mema mengi ya kujivunia Afrika..
Mungu anasababu ya sisi kuwa wa Aafrika..

Leo ngoja niishie hapa nitajitahidi kuwa nanyi wakati mwingine..

Nawapenda sana..
Wenu Mama/Shangazi;Rachel siwa[Kachiki]

No comments: