Wednesday 7 August 2013

Watoto na Michezo;Family Fun Day-Iliandaliwa na Hebron Church!!!!!!











Wazazi/Walezi na Watoto..Hii ilikuwa "Family Fun Day"..iliandaliwa na "Hebron Church"..Lakini haikuwa kwa Waumini/Washarika/Wakristo tuu..Japo waandaji ni Waumini/Waamini katika Kristo..Ilikuwa ya Watu wote,Ya wazi,Kwenye Viwanja[Park] kila mtu aliyependa kujumuika aliungana nasi/nao.
Ilikuwa ni  Kufurahi,Kucheza,Kula,Kujuana,Kujichnganya na Jamii..Pia kulikuwa na Kuchangia Watoto wenye shida..kama ulivyoona hapo juu kwenye Tangazo la[ZOE'S PLACE BABY HOSPICE] Na haikuwa lazima wewe kuchangia ndiyo ujumuike..kama uliguswa.. na kama siyo. Unaendelea Kujimwaga na Familia Yako.
Kulikuwa na Maswali mengi ya Watoto Wadadisi na kujifunza meengi....
Tulifurahi,Kujifunza,Kujuana,Kushirikiana Pamoja. kwani Mbele za MUNGU SOTE NI WAMOJA!!!

Wazazi/Walezi ni vyema tukajenga/kutenga nafasi ya kucheza pamoja na watoto wetu,wa Rafikiki zetu,Majirani na wengine.

 Asanteni sana na MUNGU azidi kutubariki soote...
Nkiripoti kutoka;STOKE GREEN[PARK],BINLEY ROAD.

Ni mimi;Mama/Shangazi Yenu,Rachel siwa[KACHIKI]

No comments: