Friday 23 August 2013

WatotoWetu;Hadithi ya Leo-Paka Wawili Wageuzwa Simba; Sehemu ya 1-3!!!!










Wazazi/Walezi na Watoto wangu Wazuri,Natumaini wote hamjambo na Mnaendele vyema na Masomo, Na wale waliokuwa kwenye Likizo ndiyo Inaishia sasa na Mnajiaanda kurudi Shuleni.

Hadithi  ya Leo,  Paka wawili wageuzwa simba ,
Shukrani;John Inniss

Mhhhhh Inatisha eehh..Haya Endelea kuangalia na itaendela...

Nawatakia mwisho mwema wa wiki,Na muwe watoto wasikivu na wenye kupendana.

Wenu;Shangazi/mama yenu;Rachel siwa[KACHIKI]

Asanteni Sana.


No comments: