Tuesday 19 February 2013

MTOTO MCHANGA AOKOTWA HUKO CHANIKA!!!!


Mtoto Mchanga Anayekadiriwa Kuwa na Mwezi Mmoja Amekutwa Ametupwa Na Mama Ambae Hadi sasa Hajafahamika.Mnamo tarehe 10-02-2013-saa kumi na Mbili jioni Eneo la Chanika Mtoto Huyo Aliokotwa Na Mohamedi Ramadhani Ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Kumpeleka Kituo Kidogo Cha Polisi Chanika.Ndipo Askari Wa Doria Ikawalazimu kumpeleka Mtoto huyo Hospitali ya Taifa ya Muhimbli Dar es Salam Kwahuduma Zaidi.

PICHA NA KHAMISI MUSSA)

Shukrani;KapingaZ Blog.

No comments: