Friday 15 February 2013

Watoto Na Vituko/Utundu!!!


Watoto na Vituko/Utundu..kama hutaki kumpatia kitu anachotaka..si kwa ubaya..labda kinamfanya asiweze kula vyema na sababu nyingine...kwake yeye anaona kama unamnyima..

Yupo Tayari atafute mbinu zake ili afanikishe.....Vipi wewe Mzazi/Mlezi umekutana na haya?

No comments: